• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MKUU WA WILAYA YA SONGEA AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MADIWANI SONGEA DC

Tarehe ya Kuwekwa: November 1st, 2023


Mkuu wa Wilaya ya Songea Mhe Wilman Kapenjama Ndile amekabidhi vishikwambi  kwa Wahesh. Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya songea katika  Mkutano wa robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2023/2024  wa Baraza la Madiwani uliofanyika tarehe 31/10/2023 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya songea.

Akikabidhi vishikwambi hivyo Mkuu wa Wilaya ya Songea ameiomba kamati iweze kuwafikiria Madiwani hao kuwaachia watumie tu vishikwambi hivyo hatakama muda wao wa kukaa madarakani utakuwa umekwisha kwani wanafanya kazi ngumu sana ya kuwahudumia wananchi hivyo hiyo kwao iwe kama motisha ya utendaji kazi wao. Amesema 

“Labda niwaambie tu ukweli ndugu wajumbe hakuna viongozi ambao wanafanya kazi katika mazingira magumu kama Madiwani sio kama mwajiriwa ambaye anakuwa na uhakika wa kazi yake kwa muda mrefu hivyo mimi niwaombe kamati iliyoamua kuwapatia vitendea kazi hivi kurudi tena kwenye kamati yenu na kuona umuhimu wa watu hawa sio eti akimaliza madaraka yake basi akirudishe mi nadhani ni vyema wangeendelea kutumia ili iwe kama kumbukumbu na zawadi kwao ili waweze kufurahia matunda ya kazi zao wakati walipokuwa wakiwahudumia wananchi”.

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Ndug Neema Maghembe alikubaliana na wazo hilo na kumuahidi Mkuu wa Wilaya atalipeleka kwenye kamati ili liweze kufanyiwa kazi.

Kisha Makamu Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya songea Mhe Simon Kapinga aliweza kuishukuru kamati kwa kuona umuhimu wa kuwapatia vitendea kazi Wahesh Madiwani ili viweze kuwarahisishia baadhi ya kazi pia amemshukuru Mkuu wa Wilaya ya Songea kwa kuwakabidhi vishikwambi hivyo. Amesema

“Kwaniaba ya Wahesh Madiwani nasema nashukuru na tunafuraha sana leo kwa kupokea vishikwambi kwaajili ya shughuli mbalimbali za halmashauri tunaamini sasa hututasikia kwamba kuna mtu atasema kwenye simu yangu haujaingia ujumbe wa taarifa ya kikao kwa kuwa tunaamini sasa kila taarifa itakuwa inaingizwa kwenye vishikwambi kwahiyo hili jambo ni jema na niseme limefanyika kwa  wakati na muda sahihi”.

Baada ya zoezi hilo la ugawaji wa vishikwambi Afisa Tehama wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea John Luoga aliweza kutoa elimu juu ya matumizi ya kifaa hicho na jinsi ya kukituza ambapo aliwaomba watumiaji wa kifaa hicho watangulize uzalendo kwenye matumizi ya nyaraka za Serikali, pia amewaomba simu hizo zitumike kwaajili ya matumizi ya Kiserikali. Ambapo kila Mhe Diwani amekabidhiwa kishikwambi chake ambacho kina chaja yake na uwanja wa kuandikia (Key board).

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa