• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MKURUGRNZI MTENDAJI AKABIDHI VITABU VYA KIADA VYA ELIMU YA AWALI, DARASA LA I,III KWA MTAALA ULIOBORESHWA

Tarehe ya Kuwekwa: February 27th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Mwl. Neema Michael Maghembe, amekabidhi vitabu vya kiada kwa Walimu Wakuu wa Shule za Msingi waliopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea kwa lengo la Kuhimiza matumizi ya Mtaala ulioboreshwa, unaowahusu wanafunzi wa Elimu ya Awali, Darasa la kwanza na darasa la tatu.

Halmashauri ya Wilaya ya Songea, imepokea vitabu vya Kiada  vya Elimu  ya Awali na Msingi Darasa la I, III na Mihtasari vya mtaala ulioboreshwa vyenye thamani ya shillingi 12,930,529/= kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania ( TET)  ambapo Mkurugenzi Mtendaji amevisambaza kwa Shule zote za Msingi na kusisitiza matumizi ya vitabu hivyo na sio kuweka makabatini.

Akikabidhi vitabu hivyo kwa walimu hao katika ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji iliyopo Makao makuu ya Halmashauri Mwl, Maghembe alisema “Kwanza kabisa napenda Kumshukuru Mhe. Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa jitihada kubwa anazofanya kuhakikisha kila mtoto anapata elimu bora, Mhe. Rais amewekeza nguvu kubwa sana kwenye elimu, kwa kutujengea miundombinu iliyobora, lakini pia kutoa Elimu bure bila malipo kwa wanafunzi wote kuanzia darasa la awali hadi kidato cha sita

hivyo leo tumepatiwa vitabu vya mtaala ulioboreshwa baada ya mchakato mrefu kuusu martumizi yta mtaala huu, na sasa umeshakua rasmi na utatumika kwa wanafunzi wa darasa la Awali na Msingi kwa Darasa la I, III.

Aidha Mwl Neema Aliwakumbusha pia walimu kuhusu mafunzo waliyopata ya mtaala huo na kuwataka wazingatie maelekezo waliyopewa na kuhakikisha mtaala unatumika ipasavyo

“ Wote walimu wa Awali na Msingi yaani ( I, III) mmepata mafunzo ya mtaala ulioboreshwa,  rai yangu kwenu ni kuhakikisha vitabu hivi pamoja na Mihtasari, inakwenda kutumika ipasavyo.

 Mwisho Mkurugenzi aliendelea kuishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa jitihada yake ya kuboresha kwenye Elimu, lakini pia alimshukuru na kumpongeza Mhe. Jenista Mhagama Mbunge wa Jimbo la Peramiho kwa kazi nzuri anayioifanya kwenye jimbo lake, na kuhakikisha kila fulsa inayopatikana inaelekezwa kwa wananchi wa jimbo la Peramiho na Halmashauri ya Wilaya ya Songea kwa uju

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa