• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MKURUGENZI MTENDENDAJI APONGEZA JITIHADA ZINAZOFANYWA NA WALIMU KATIKA KUHAKIKISHA WANAFUNZI WANAFANYA VIZURI KWENYE MASOMO

Tarehe ya Kuwekwa: August 21st, 2023

 

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Ndg. Neema M. Maghembe, amewapongeza walimu wote wa Shule za msingi na sekondari,  kwa mikakati waliyonayo ambaye imepelekea ufaulu mzuri wa wanafunzi ndani ya Halmashauri ya Songea. 

Mkurugenzi aliyasema hayo jana katika kikao alichofanya na walimu wakuu wa shule za msingi na sekondari zilizopo Halmashauri ya wilaya ya Songea. “ Matokeo ya mitihan ya utimilifu ( Mock Examination) ya darasa la saba na kidato cha nne 2023 yanamabadiliko ukilinganisha na matokeo ya mwaka uliopita na ule mwaka mwingine, kiukweli yanaonesha mabadiliko makubwa, na hii inatokana na kazi kubwa ambayo walimu mnafanya.

Mwaka huu tulikua na shule tatu katika Halmashauri yetu ambazo zimefanya vizuri sana kwa matokeo ya kidato cha sita, shule kama Peramio girls, Mpitimbi na Maposeni. Hawakuwa na division zero (0) wala division four (iv). Hii ni hatua kubwa ambayo tunapaswa kujipongeza sisi kama walimu, lakini msibweteke.

Kuhusu shule ambazo pia zimekua zikiichafua Halmsahauri kwa kutokufanya vema, Mkurugenzi alitia neno “ katika matokeo hayo hayo mazuri, zipo shule pia hazikufanya vizuri, na maafisa taaluma mpo na mnajua. sitaki kuzihukumu hapa ila natamani mjiulize afisa taaluma, na wakuu wa shule kwanini baadhi ya  shule zetu hazijafanya vizuri, mje na mpango mzuri zaidi. Huwa napenda matani lakini kwenye swala la kusimamia utendaji na wajibu wetu, mtaniona mbaya. Mwaka huu hatutaki tena Songea DC turudi tulipotoka.  Wakuu wa Shule tunawapa posho ya madaraka, simamieni wajibu wenu.

Mkurugenzi pia aliwatangazia habari mbaya, kwa walimu Wakuu wa shule wazembe, kwamba kipindi hiki, kila mtu arudi shuleni akazungumze na walimu wake, kuwasimamia wafanye kazi. “kipimo cha mtu kuendelea kuwa mwalimu mkuu, ni matokeo ya mtihani wa Taifa kwa wanafunzi wa mwaka huu.

Swala la miradi pia limekua agenda kwenye kikao cha mkurugenzi, kwani kuna shule ambazo zinamiradi ya Serikali, lakini kuna kutowajibika kwa baadhi ya wakuu wa Shule na Watendaji katika kusimamia miradi hiyo. Hivyo basi Mkurugenzi amewataka wakuu wa Shule wote kuhakikisha miradi ya Serikali inasimamiwa ipasavyo, na wale mafundi wazembe wote wafikishwe kwake ili awachukulie hatua.

Aidha katika kikao hicho, aliingia pia Katibu Tawala wa Wilaya, Ndg. Mtela Mwampamba, ambae pia ni mwalimu kwa taaluma ambapo pamoja na mambo mengine aliwasihi waalimu wajitahidi kusimamia taaluma zao kwa weledi, kwani Serikali inaimani kubwa na walimu.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa