• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MJI Mdogo wa Peramiho wote kurasimishwa na Serikali

Tarehe ya Kuwekwa: September 14th, 2020

Mji mdogo wa Peramiho katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma wote kurasimishwa  kwa lengo la wananchi wapate haki yao ya kumiliki maeneo yao kisheri na kuupandisha hadhi kutoka kwenye Kijiji kwenda kuwa Mji.

Afisa ardhi wa Halmashauari hiyo Godfrey Chipakapaka amesema pamoja na lengo la kuupandisha hadhi mji huu,lengo jingine ni kuwataka wananchi kulipa kodi ya ardhi baada ya taratibu zote za upimaji na umiliki kukamilika.

Chipakapaka amesema urasimishaji wa mji huu unafanywa na Serikali kwa kushirikiana na shirika l silo la kiserikali la Aga Teo Hope Foudandation (AHP) kwa gharama za shilingi 150,000 gharama  ambyo ni kidogo sana ukilinganisha na gharama halisi za upimaji ambazo mwananchi ataamua kulipa mara moja au kidogo kidogo kwakipindi cha miezi miwili.

“Upimaji huo ni fursa kwa wananchi hivyo wanapaswa kuchangamkia kwasababu gharama inayotumika katika kupima ni ndogo, kisheria kupima uwanja wa robo hekali ni sh.600000”,amesema Chipakapaka

Mratibu wa Shirika la Aga Teo Hope Foundation William Mapunda amesema kazi ya upimaji wa viwanja hivyo umeshirikisha wananchi  kwa wao  kuunda kamati ambayo inaratibu zoezi zima ikiwemo utambuzi wa mipaka na usimamizi wa malipo ambayo wanalipia Bank..

 “Tunashukuru Ofisi ya Kamisha wa Ardhi wa Mkoa wa Ruvuma kwakuona umuhimu wa kazi hii kwakutupatia kifaa cha kisasa cha kupima ardhi kichotumia sateliti  ambacho kinapima ardhi kiliomita 30”,alisema Mapunda.  

Ameongeza kwa kusema wanatarajia kupima viwanja 5260 katika Mji mdogo wa Peramiho ambapo kazi hiyo imeshaanza mwezi wa huu Septemba na upimaji utakamilika mwezi  Desemba mwaka huu,sambamba na upimaji wa mji mdogo wa Peramiho maeneo mengine ambayo wanatarajia kupima ni Parangu,Litisha,Kilagano,Liganga na Mbinga mhalule.

Afisa Mipango miji wa Halmashauri ya Wilaya Medradius Aliyafao amesama lengo la serikali ya  mkoa wa Ruvuma ni kupima viwanja 7000 kwa mwaka lakini kwa Halmashauri hiyo itatavuka lengo la upimaji hadi kufikia mwezi Desemba 2020.

Aliyafao amesema ardhi ni mtaji  zoezi la urasimishaji litawasaidia wananchi kukopa fedha toka kwenye Taasisi za kifedha,fedha ambazo zitawasaidia kufanya shughuri nyingine za kiuchumi kama kiliomo, ufugaji,uvuvi na biashara.

“Naona miujiza kwani nimuda mrefu tumekuwa na  kilio cha kupiwa maeneo yetu na kupatiwa hati’,amesema Maria Ponera.

Maria Ponera ambaye ni mkazi wa kijji cha Peramiho B amesema wanashukuru Serikali na shirika la Aga TEO  Hope Foundation kwasabu kitendo cha kupiwa maeneo yao na kumilikishwa kisheria kilikuwani  kilio chao cha mda mrefu kwa wakazi wa Peramiho jambo ambalo litamaliza migogoro ya mipaka ya viwanja na mashama ambayo ilikuwa inajitokeza miongoni mwao kwasasa hali hiyo itakwisha  kwani kila mtu atatambua mipaka ya eneo lake,pamoja na kukopesheka kwenye mabenki kwa kuweka dhamana ya hati zao   Imeandaliwa na

Jacquelen  Clavery,

Afisa Habari Songea DC  

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa