• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MIFUGO kusajiliwa kwa njia ya heleni za kieletroniki

Tarehe ya Kuwekwa: November 12th, 2021

Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeanza zoezi la utambuzi ,usajili na ufuatiliaji  wa mifugo kwa njia ya heleni za kieletroniki kwa lengo la kutambua idadi ya mifugo nchini, kukidhi mahitaji ya soko la ndani na nje ya nchi na kurahisisha mipango ya kuihudumia.

 Hayo ameyasema  Afisa Mifugo na Uvuvi wa Halamashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Dr Erick Kahise akiwa Ofisini kwake.

Dr Kahise amesema katika utekelezaji wa zoezi hilo Serikali imetoa Mwongozo ambao unaelekeza watu binafsi kuingia makubaliano na Serikali ili waweze kusambaza na kuvisha mifugo heleni za kieletroniki kwa usimamizi wa Halmashauri za Wilaya

Dr Kahise amezitaja faida za usajili wa kieletroniki ni pamoja na kutambua idadi ya mifugo na sehemu ilipo,kukabiliana na changamoto ya magonjwa ya milipuko ambayo pia ni tishio kwa uhai wa binadamu,urahisishaji wa biashara ya mifugo na mazao yake,uthibiti wa wizi pamoja na kuwawezesha wafugaji kupata mikopo na bima.

Dr Kahise amesema katika utekelezaji wa zoezi hilo Serikali imetoa Mwongozo ambaoa unaelekeza watu binafsi kuingia makubaliano na Serikali ili waweze kusambaza na kuvisha mifugo heleni za kieletroniki kwa usimamizi wa Halmashauri za Wilaya

Ameitaja mifugo itakayo husika na zoezi hilo kuwa ni ng’ombe , punda, kondoo na mbuzi wenye umri zaidi ya miezi mitatu  wanaofugwa kwenye mashamba ya serikali,Ranchi, mashamba ya watu binafsi na mifugo iliyopo kwenye maeneo yote ya unenepeshaji,wanaopelekwa mnadani na machinjioni na wanaosafirishwa toka eneo moja kwenda jingine.

 Dr Kahise amewataja wadau mbalimbali watakao husika na usimamizi na ufuatiliaji wa zoezi hilo kuwa Serikali za Vijji,watoa huduma binafsi  na wafugaji wenyewe kwa kuzingatia sheria,kanuni na taratibu za nchi.

Ameongeza kwa kusema heleni ambazo  zitawekwa kwenye mifugo hiyo zitakuwa zina fanana isipokuwa kuwa Kwa Wilaya ambazo zipo mipakani mwanchi heleni hizo zitatofautiana rangi kwa lengo la kudhibiti  changamoto mbalimbali ikiwemo ya wizi wa mifugo.

Imeandaliwa na kuandikwa na

Jacquelen Clavery.

Afisa Habari

Songea DC.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI 28 VAPATIWA MIKOPO YA TSH MILIONI 249 NA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    July 03, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 600 ZIMETUMIKA KUJENGA STEND YA KISASA PERAMIHO

    July 01, 2025
  • Ujenzi wa Mradi wa Barabara Likuyufusi–Mkenda ni fursa mpya ya Maendeleo ya Songea Dc.

    June 20, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI WASISITIZWA KUZINGATIA UADILIFU NA UFANISI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO SONGEA DC

    June 19, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa