• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

KIKAO cha Baraza Maalumu la Madiwani Songea DC.

Tarehe ya Kuwekwa: September 28th, 2022

MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya Songea Mhe. Menasi Komba leo Septemba 28,2022 mbele ya mkuu wa wilaya Mhe.Pololet Mgema, Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Neema Maghembe, Viongozi wa Chama na Wataalamu wamepokea taarifa ya hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya Songea kwa mwaka wa fedha ulioishia Juni 30, 2022.

''Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri  Ndugu Neema Maghembe na watendaji wote kwa jinsi walivyoweza kuvuka lengo la ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri kwa asilimia 123.5 kwa mwaka wa fedha 2021/2022'', amesema Mhe.Menasi Komba

Akisoma taarifa hiyo muhasibu wa Halmashauri Viviano Ndunguru amesema kuwa kwa mujibu wa sheria ya fedha ya serikali za mitaa ya mwaka 1982 kifungu cha 40 kama ilivyorekebishwa mwaka 2000 Halmashauri zote nchini zinatakiwa kufunga hesabu na kuwasilisha kwa mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za seikali (CAG) si Zaidi ya tarehe 30 september kila mwaka.

Aidha Viviano amesema kuwa kazi ya ufungaji wa hesabu kwa mwaka 2021/2022 ilianza tarehe 10 Julai na imekamilika tarehe 25 sept 2022

Imeelezwa kuwa Mfumo wa ufungaji wa hesabu kimataifa ujulikanao kama ipsus ndio uliotumika katika uandaji wa hesabu za halmashauri ya wilaya ya songea pia katika mwaka wa fedha 2021/2022 hesabu zimetolewa katika mfumo wa muse kama muongozo wa ufungaji hesabu unavyotaka ambao ni mfumo wa taifa la Tanzania.

Naye Diwani wa kata ya Liganga iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mhesimiwa Filbert Mendrad Soko amesema kuwa taarifa hiyo wao kama Madiwani wameipokea vizuri kwani imekidhi matakwa ya baraza katika ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri na kusisitiza juhudi zilizofanyika katika awamu hii ziendelee Zaidi katika mwaka wa fedha ujao. 

Imeandaliwa na Bahati Nyoni,

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.

Septemba 28, 2022.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa