• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

_Mhe. KAPINGA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA PILI

Tarehe ya Kuwekwa: January 31st, 2024


 

Kikao cha baraza la madiwani robo ya pili Halmashauri ya Songea kimefanyika januari 31 katika ukumbi wa Halmashauri kikihudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo madiwani wote wa Halmashauri hiyo, watendaji wa kata pamoja na wageni waalikwa.


Mhe. Saimoni kapinga ambaye ni Diwani wa kata ya Lilahi na pia ndio makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilayay ya Songea, pamoja na Mambo mengine alisisitiza ushirikiano kati ya Madiwani na wataalam ili kuendelea kulijenga  Taifa 


Katika kikao hicho kamati mbalimbali ziliwasilisha taarifa zao na kamati hizo ni pamoja na kamati ya Maadili, Fedha, kamati ya Uongozi na Mipango ,kamati Kudhibiti Ukimwi, kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira,na kamati ya Elimu Afya na Maji.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Bi Neema Magembe amesema kuwa baraza limejadili taarifa mbalimbali na zimepitiwa na kuongeza kuwa inatakiwa kuwekea mkazo kama menegmenti na kuzifanyia kazi kikamilifu na kuendelea kuchapa kazi.

Aidha Bi neema aliendelea kuwapongeza Wataalmu wake ( wakuu wa Divisheni na Vitengo) kwa kazi nzuri ambazo wamekua wakifanya, huku akisistiza uwepo wao na utendaji kazi wao ndio unaoifanya Halmashauri kuendelea kusemwa vizuri nje.


Kaimu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Songea Mhe, Simon Kapinga amewahasa madiwani kuwahamasisha wananchi kulima zao la ufuta kwa wingi kwani ni zao ambalo lina mpa mkulima fedha ya mapema sana na kuondokana na matatizo ya kiuchumi.

"Niwahase madiwani wenzangu mhakikishe mnawahamasisha wananchi walime zao la ufuta hasa kwa kipindi hiki cha mwezi huu wa pili kwasababu ni zao linalo wapatia hela mapema na kuwasaidia katika majukumu mengine"
Amesisitiza Kapinga

Hata hivyo Mhe. Mwenyekiti amewataka watendaji wa kata kuhakikisha wanawahimiza wazazi na walezi kuwapeleka watoto ambao wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza na kuacha kuwapa watoto ajira za utoto.


Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa