• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MH JENISTA MHAGAMA ASIMWIKA KUWA MALKIA

Tarehe ya Kuwekwa: November 5th, 2018

MBUNGE wa Jimbo la Peramiho ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Sera,Bunge,ajira,vijana na wenye ulemavu Bi. Jenista Mhagama jana ametunukiwa heshima ya kuwa malkia wa nguvu wa kabila la wangoni ili kuenzi shughuli anazofanya za kuleta maendeleo kwenye Jimbo hilo toka amechaguliwa kuwa mbunge .

Awali akimtunukia heshima hiyo ya umalkia chifu wa kabila la wangoni Emanuel Zulu kwenye eneo lililokuwa kambi ya Wajerumani kwaajiri ya kupumzikia lililopo katika kijiji cha Namatuhi Wilaya ya Songea.

Alisema kuwa Bi. Jenista amefanya kazi kubwa iliyotukuka ya kuwaletea maendeleo katika sekta ya Elimu ambapo ameweza kujenga na kuboresha miundombinu ya majengo katika shule za msingi na sekondari,

Alifafanuwa kuwa katika sekta ya Afya aemeweza kujenga zahanati na vituo vya afya na kufanya huduma hizo kutolewa kwa ubora ,lakini pia ameweza kuboresha miundombinu ya barabara katika kiwango cha rami kwenye vijiji vyote vya halmashauri ya wilaya ya Songea.

''Najuwa watu wanaweza kushangaa kwa nini tumempa umalkia tumeamua kumpaa umalkia baada ya yeye kulifahamu vizuri jimbo la peramiho na amekuwa na utamaduni wa kushinda na wananchi jimboni kwake hivyo aina utofauti na nchi zingine kama Misri waliweza kumsimika umalkia Cleopatra hata kwa sisi kumuhenzi"alisema Chifu Zulu.

Alisema wapo wabunge wengi wamepita na wamefanya kazi nzuri lakini huyu amefanya kazi nzuri zaidi inayoonekana kwa jamii ukizingatia kuwa Rais wa Jamuhuri ya Munngano wa Tanzania Dkt. John Magufuli amemwamini kwa kumpa majukumu makubwa ambapo wananchi wanajivunia.

Kwa upande Mbunge Jenista Mhagama ameshukuru kupewa heshima kuwa malkia wa nguvu kwa jimbo la peramiho na kwamba ameahidi kuendelea kutoa ushirikiano wa dhati kwa wananchi wa Mkoa wa Ruvuma ikiwemo kwa wananchi wa jimbo la Peramiho.

Alisema kuwa serikali kupitia Wizara ya afya imeshatoa zaidi ya sh. milioni 500 kwaajiri ya ujenzi wa kituo cha afya ambacho kinatarajiwa kujengwa katika kata ya Mpitimbi hivyo na kufanya idadi ya vituo vya afya visivyopungua vitano.

Aidha amewataka wananchi kuona umuhimu wa kulima mazao mbadala badala ya kutegemea kilimo cha zao la mahindi ambalo kwa sasa soko lake limeyumba wakati serikali inaendelea na jitihada za kutafuta soko la mahindi.

MWISHO.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI 28 VAPATIWA MIKOPO YA TSH MILIONI 249 NA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    July 03, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 600 ZIMETUMIKA KUJENGA STEND YA KISASA PERAMIHO

    July 01, 2025
  • Ujenzi wa Mradi wa Barabara Likuyufusi–Mkenda ni fursa mpya ya Maendeleo ya Songea Dc.

    June 20, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI WASISITIZWA KUZINGATIA UADILIFU NA UFANISI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO SONGEA DC

    June 19, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa