• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MH. Jenista awafurahisha wanufaika wa TASAF

Tarehe ya Kuwekwa: July 8th, 2022

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mh Jenista Joakim Mhagama amewataka walengwa wote wanaopokea ruzuku kutoka TASAF wapewe elimu mara kwa mara namna ya matumizi bora ya ruzuku hizo.

Ameyasema hayo jana katika uwanja wa soko la Peramiho A wakati akizungumza na wanufaika wa Mradi huo.

Amesema mpango huu unahakikisha hakuna Mtanzania atakayeachwa nyuma katika utekelezaji wa mapambano dhidi ya kunusuru kaya maskini kwa wananchi.

"Ninaomba Mratibu wa TASAF wa Halmashauri yetu awahamasishe hawa walengwa wa TASAF waanzishe vikundi na kama vikundi vipo mikopo itolewe bila riba ili waweze kujikwamua vizuri kiuchumi", amesisitiza Mh Jenista.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mwalimu Neema Magembe amemuomba Waziri aridhie na kuruhusu Viongozi Ofisi ya TASAF makao makuu Dodoma wafike kutoa Elimu na tafsiri sahihi za miongozo ya utekelezaji wa Mradi huu.

Pia ameongeza kuwa Viongozi hao kutoka makao makuu Dodoma waweze kuwajengea uelewa viongozi wote wa ngazi ya Halmashauri, Tarafa, Kata, Vijiji, Wanakamati na Wananchi wote wanaosimamia utekelezaji wa Mradi wa TASAF kabla ya kuanza kutumia fedha hizo.

Halmashauri ya Wilaya ya Songea ni kati ya Halmashauri nane za Mkoa wa Ruvuma zinazotekeleza Mradi wa mpango wa kunusuru kaya maskini kupitia mfuko wa maendeleo ya Jamii TASAF ikiwa na vijiji 56 na walengwa wanaonufaika ni wanakijiji 6143.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO October 12, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • SIKU CHACHE ZATOLEWA MIFUGO ILIYOINGIZWA KINYEMELA IONDOLEWE KIJIJI CHA LIANGWENI.

    November 23, 2023
  • MKUU WA MKOA RUVUMA; "VIONGOZI WA KIMILA TUMIENI MAMLAKA YENU KUDUMISHA MILA NA DESTURI ZETU".

    November 22, 2023
  • DKT. CHARLES MSONDE ARIDHISHWA NA UBORA WA UJENZI SEKONDARI MAPOSENI.

    November 22, 2023
  • Dkt. Kaijage aipongeza Awamu ya Sita kwa kuwajali Watumishi

    November 13, 2023
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa