• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MBUNGE WA PERAMIHO AZINDUA MRADI WA MAJI WENYE THAMANI YA TSH. 618,000,000/= LITAPWASI

Tarehe ya Kuwekwa: July 6th, 2024


Mbunge wa jimbo la Peramiho ambaye pia ni Waziri wa Nchi  Ofisi ya Waziri Mkuu, ( Sera, Bunge na Uratibu) Mhe Jenista Joakim Mhagama, amezindua Mradi wa Maji wenye thamani ya Shilingi Milion mia sita kumi na nane (618,000,000/=) katika kata ya Litapwasi kijiji cha Lyangweni

“Leo Lyangweni tumemtua mama ndoo kichwani, maji yanapatikana,. Maji hayo tumekwenda kuchimba kisima kirefu ambacho kinauwezo kwa siku kuzalisha lita laki moja na sitini na nane lakini mahitaji yetu kwa siku hapa Lyangweni ni lita laki moja na hamsini na tisa, kwahiyo maji yanayozalishwa ni mengi kuliko yanahitajika kutumiwa nani kama Mama Samia?. Alisema Mbunge wa Jimba la Peramiho


Mradi huo wa Maji uliopo kijiji cha Lyangweni, unathamani ya Tsh. 618,000,000 unahudumia wananchi wapatao 2,159 wa kijiji cha Lyangwenina umetekelezwa kwa njia ya Force Account” na kwa sasa umekamilika kwa asilimia mia moja 100%.

Akizungumza kwa kwa niaba ya Meneja wa RUWASA, Eng. Hamisi Yasini amesema “ Mhe. Mbunge, hadi sasa mradi umetekelezwa kwa asilimia 100 kwa maana mradi huu umekamilika na unatoa huduma kwa wanachi.

Aidha Eng. Yasini ametoa Faida za Mradi huu kwa wananchi wa Lyangweni ikiwemo, kupunguza umbali mrefu wa wananchi kwenda kutafuta maji, Kupunguza athari za kupata Mlipuko wa magonjwa kwa kukosa maji safi na Salama.

Hata Hivyo Mhe. Jenista Mhagama aliwasihi wananchi wa kijiji cha Lyangweni kutunza miundombinu ya mradi huo wa maji ili kufanya mradi huo uwe endelevu kwa vizazi vya sasa na vijavyo.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa