• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MBUNGE AHAIDI NEEMA KWA WAKULIMA JIMBONI KWAKE

Tarehe ya Kuwekwa: September 22nd, 2023

MBUNGE AHAIDI NEEMA KWA WAKULIMA JIMBONI KWAKE

Mbunge wa Peramiho ambaye pia ni Waziri wa chi Ofisi ya Waziri Mkuu ( Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Joakim Mhagama, amewaahidi wananchi wa Jimbo la Pramiho kupata mbole ya rukuzu kwa bei nafuu, na itawafikia wote kwenye kata mpaka vijiji vyote vilivyopo jimboni kwake.

Mbunge ameyasema hayo, wakati akifanya ziara yake ya siku nne 18/09/2023 mpaka 21/09/2023 katika kata ya Kilagano, Mpitimbi, Matimila na  Magagura. Mbunge aliwataka wananchi wasiwe na hofu na serikali yao, kwani Serikali ipo makini kuhakikisha kila mwananchi anapata haki zote za msingi ili kurahisisha shughuli yao zinazowaingizia kipato ikiwemo kilimo.

“Hapo mwanzo swala la mbolea kwa wakulima ilikua mtihani sana, kwanza ilikua inauzwa bei kubwa ambapo ni kuanzia 130,000  mpaka  120,000. Lakini kwa sasa inapatikana kwa shilingi elf sabini tu, (70,000). hili swala lazima tumpongoze Rasi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan, kwa upendo wake kwa wananchi, na niwaambie tu mikakati wake ni kwamba mwaka huu mbolea zote zinafika katika kila  Kata, na kila kijiji ili kila mkulima aweze kupata mbolea kwa urahisi na kwa bei nafuu.”

Mbunge alitoa onyo kwa mawakala wa Mbolea kwa kuwataka wamalize taratinbu zao zote mapema na pia kutokulifanya hili swala la mbole kama sehem ya kuwanyanyasa wananchi. Hivyo aliwataka waache udanganyifu na kumuunga mkono Mhe. Rais ili kufikisha adhima yake ya kurahisisha maisha kwa wananchi wake.

“ Mawakala wa mbolea simamieni hili swala kwa weredi, epukeni udanganyifu na zoezi hili lianze mapema kwan litawasaidia wananchi kupata mbolea mapema na kufanya kilimo kwa wati.”

"Wananchi sasa Serikali yenu ya awamu ya sita ipo kwa ajili ya kuwahudumia ninyi na kuwapa kile ambacho kinarahisisha maisha ya kila mtanzania ikiweno ninyi watu wa Jimbo la Peramiho. Hivyo nawaomba mkajisajili mapema, ili mbolea zinatakapofika mpate kwa wakati na kazi iendelee"

Mh mbunge pia alipongeza jitihada za serikali kwa kuleta huduma za kijamii na miundombinu yote muhimu katika vijiji vyote kama vile  Maji, Barabara ujenzi ma wadarasa, majaraja na Umeme. Lakini pia aliwasauri wananchi kutumia fulsa zilizopo kujiongezea kipato.

“ tumieni fulsa mnazozipata kwa maendeleo yenu, saivi kila kijiji kina umeme, ambavyo bado mmeona hapa nipo na wataalamu kutoka Tanesco na wataalam wengine ikiwemo Tarula na Rea hivyo vijiji vyote vyenye changamoto zitatatuliwa. Hivyo tuanze kujiajili kupitia umeme kwa kutengeneza Saluni, Kuchomelea ili kuutumia umeme uliopo kama fursa.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa