• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MAGHALA KUMI NA MOJA (11) YA CHAKULA KUJENGWA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

Tarehe ya Kuwekwa: September 22nd, 2023

Kati ya Maghala  ya chakula Ishirini na nane (28), yatakayojengwa Mkoani Ruvuma, Maghala kumi na moja ( 11) yatajengwa Halmashauri ya wilaya ya Songea katika kata  mbalimbali ikiwemo Peramiho, magagula nk Maghala tisa yatajengwa wilaya ya Madaba, Maghala  saba  wilaya ya Namtumbo na moja Wilaya ya Songea Mjini.

Hayo yalisemwa jana kwenye ziara ya Mhe. Jenista Mhagama katika kata ya Magagura ambapo alimbelea maghala mawili, moja kati ya hayo ndo lilikua linaanza ujenzi.

Akitoa ufafanuzi kwa wandishi wa habari Mkandarasi wa jengo hilo Eng. Julius Nalitolela alisema “ hili ni ghala hapa Masangu, ni kati ya maghala kumi na moja yanayojengwa katika Halmashauri ya wilaya ya Songea,  pia kati ya maghala 28 yaliyopo Mkoa wa Ruvuma. Mradi huu unaghalimu kiasi cha shilingi Milioni mia tano ishirini ( 520,000,000.00) ni Mradi ambao utaweza kuhifadhi vyakula mbalimbali kiasi cha Tani elfu moja ( 1000) na litakua na ukubwa wa Squre meter mia tano sitini ( 560)  ambalo pia itakua na ofisi na vyoo kwa ajili watumishi.

Akikagua Ghala hilo Mhe. Jenista aliwataka viongozi na wasimamizi kuwapatia nafasi wazawa katika kazi ndogondogo za pale ili waweze kujipatia kipato,  pia akashauri hata kandarasi ndogo ndogo ziweze kupewa kwa wazawa ili kukuza uchumi wa kijiji cha  Masangu.

“ kwanza niwapongeze Halimashauri kwa kusimamia vema miradi ya serikali, nikupongeze Mkurugenzi Neema Maghembe na timu yako nzima, lakini nishauri pia vipaumbele vya ajira viwe kwa wazawa, ili waweze kujipatia kipato kutokana na vitu vinavyofanyika kwenye maeneo yao ikiwemo pia kupewa kandarasi ndogo ndogo wazawa wa hapa hapa kijijini. Natoa wito pia kwa wanakijiji kuwa walinzi wa mali za Serikali"


Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa