• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

UFAULU WA SHUKA

Tarehe ya Kuwekwa: February 14th, 2019

 UFAULU WA SHUKA

Idara ya elimu ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea Imetakiwa kuaondoa changamoto zinazosababisha ufaulu kushuka.

Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa Wilaya ya Songea Pololeti Mgeama katika kikao cha tathimini ya elimu kilicho fanyika hivi karibuni katika ukumbi wa shule ya sekondari ya Maposeni.

 Mgema amesema idara ya elimu ya Halmashauri ihakikishe inaondoa changamoto zinazopelekea kiwango cha taaluma kushuka kutoka nafasi ya tano kwa mwaka uliopita na kushika nafasi ya 7 mwaka 2018,kwakufanya ufuatiliaji na kutatua changamoto zinazo wakabili walimu pamoja na kuwapatia stahiki zao.

“sitataki kuona watoto wanashindwa kufaulu katika Wilaya yangu,nataka ufaulu kwa darasa la nne na lasaba uwe wa asilimia miamoja”,alisema mgema.

Mgema amesema walimu wanamatatizo mengi hivyo matatizo yote yanayowakabili walimu yapelekwa ofisini kwake kwa maandishi ili aweze kuyafanyia kazi

Shuleni 17 kati ya shule 69 za halmashauri zimeshindwa kufikisha wastani wa ufaulu waasilimia 50 nakusababisha halmashauri kushika nafasi ya 7 kimkoa,kufuatia kadhi hiiyo amemtaka mkrugenzi mtendaji kuzifuatilia shule hizo na kubaini matatizo katika shule hizo.

Wakitoa utetezi wa kushindwa kufikia malengo ya kufaulisha baadhi ya walimu wakuu wamesema wanakumbana na changamoto nyingi ikiwemo ya wazazi kuwakataza watoto wao wasijibu maswali kwa usahihi kwakuwa wao hawana uwezo wa kumudu gharama za mahitaji ya shuleni wanapo faulu.

Kitendo cha kuwashawishi watoto wasijibu maswali kwa usahihi ni miongoni mwamatendo ya kikatili kwa watoto kwakuwa yanakatisha ndoto za  maisha za watoto na kuwasababishia umaskini, kitendo ambacho hakikubaliki katika jamii.

Jacquelen Clavery. 12/02/2019

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa