• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

KAMATI ZATAKIWA KUWA MAKINI KATIKA KUSIMAMIA UJENZI

Tarehe ya Kuwekwa: February 14th, 2019

Kamati zinazosimamia ujenzi wa hospitali ya wilaya ya songea zimetakiwa

Kujiepusha na hujuma mbalimbli ambazo zitakwamisha mradi wa ujenzi kutokamilika kwa wakati.

Kauli hiyo imetolwa na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya songea mkoani Ruvuma Bw Simoni Bulenganija katika kikao elekezi cha kuzitambua kamati na jinsi namna zitakavyo tekeleza majukumu yake,kilicho fanyika hivi karibuni kwenye ukumbu wa Halmashauri hiyo.

Bw Bulenganija amewataka wanakamati kjiepusha na vitendo vya hujuma ambavyo vitakwamisha mradi kutokakamilika kwa wakati au utekelezaji wake kuwa chini ya viwango,watakapo ona viashiria  vya hujuma yoyote watoe taarifa kwa uongozi wa Halmashauri kwa ajili ya ufutiliaji na kuchukua staiki.

Amesema kazi ya ujenzi wa mradi huo unahitaji uadilifu na uzalendo ni vizuri kamati zote zikafanya kazi kwakushirikiana na kuacha misuguano isiyokuwa na tija ambayo itachelewesha kazi kufanyika.

“sipendi kuona watu mkichongeana na kuhujumiana jambo la msingi ni kuweka nia njema ya kufanya kazi”,alisema Bulenganija.

Afisa mipango wa Halmashauri ya wilaya ya songea Bw Richard Masesa alieleza na kufafanua miongozo iliyotolewa na OR-TAMISEMI inayoelekeza uundaji wa kamati na majukumu ya kila kamati itakavyo tekeleza majukumu yake,jumla ya kamati tano zimeundwa kwa ajili ya usimamizi na ufutiliaji wa maradi wa ujenzi wa hospitali ya wilaya ya songea ambayo itajengwa Kijiji cha Mpitimbi B Kata ya Mpitimbi Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani  Ruvuma.

Halmashauri ya Wilaya ya Songea ni miongoni mwa Halmashauri 67 nchini zilizo pata fedha toka OR -TAMISEMI kwa ajili ya ujenzi wa haspitali za wilaya, Halmashauri ya Songea imepata sh.bilioni moja na milioni miatano.

Jacquelen Clavery –Habari –Tehama.12/02/2019.

 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa