• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

KAMATI ya siasa ya Mkoa wa Ruvuma yakagua miradi ya maendeleo ya Halmashauri ya Wilaya ya songea.

Tarehe ya Kuwekwa: July 7th, 2020

KAMATI  ya siasa ya  Mkoa wa Ruvuma ya kagua  miradi ya maendeleo Halmashauri ya Wilaya ya Songea.

Kamati ya siasa ya Mkoa wa Ruvuma yaagiza miradi inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea ikamilishwe na ianze kutoa huduma kwa Wananchi kwa hatua za awali kabla ya Agosti mosi 2020

Maagizo hayo yametolewa na Mwenyekiti wa kamati hiyo ndugu Oddo Mwisho wakati wa  ukukaguzi wa miradi ya maendeleo inayotekekelezwa katika halmashauri hiyo iliyofanyika Julai  sita ,2020.

Mwisho amesema azima ya Serikali kuona wananchi wanapata huduma kama vile huduma za afya,maji safi na salama ,mazingira mazuri ya kutolea elimu ,barabara na huduma nyingine za kijamii ambazo wanamchi wanastahili kupata.

“Napongeza hatua za utekelezaji wa miradi unavyoendelea majengo mazuri yaende sambamba na utoaji wa huduma inayotakiwa kutolewa”alisema Mwisho.

 Naye katibu wa CCM wa Mkoa wa Ruvuma Nuru Ngereja ametoa wito kwa wataalam wa Halmashauri hiyo kutnza miundombinu ya miradi hiyo ili iweze kudumu na kutoa huduma endelevu.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Bw Simon Bulenganija amehaidi kusimamia kufuatilia na kushugulikia miradi yote ya Afya iliyotembelewa na kuhakikisha inaanza kutoa huduma iliyo kusudiwa kwa wakati.

Miradi iliyotembelewa na kamati hiyo ni ujenzi kituo cha Afya Magagura,,Hospitali ya Wilaya Mpitimbi,ujenzi wa vyoo vilivyo boreshwa kupitia mradi wa SHWASH katika Kijiji cha Mpitimbi,miradi mingine ni ujenzi wakituo cha Afya Muhukuru ambacho kimeanza kutoa huduma za upasuaji kuanzia Aprili mosi 2020,mradi wa maji katika Kata ya Muhukuru Lilahi na Chuo cha Maendeleo ya Wananchi kilichopo Muhukuru Lilahi.

Imeandikwa na

Jacquelen Clavery

Afisa habari Songea DC.

 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa