• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

KAMATI ya Fedha, Uongozi na Mipango yafanya Ziara Kijiji cha Nambendo

Tarehe ya Kuwekwa: October 15th, 2022

KAMATI ya fedha, uongozi na mipango  ikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Menas Komba imefanya ziara  katika Wilaya ya Songea kata ya Ndongosi kijiji cha Nambendo.

Aidha katika ziara hiyo wametembelea miradi mbalimbali ambayo inatekelezwa na Serikali ya awamu ya sita na kusimamiwa na uongozi wa Halmashauri.

Waheshimiwa Madiwani wametembelea  shule ya msingi Nambendo  ambapo ujenzi ulifanyika  kupitia mradi wa EP4R  shule ilipokea shilingi Milioni 87,700,000 kwaajili ya ujenzi wa vyumba vinne vya  madarasa, ofisi mbili za walimu, vyoo matundu saba pamoja na kutengeneza madawati 60.

Akizungumza Mhe.Menas ameutaka uongozi wa shule ufanye ukarabati wasakafu kwa madarasa mawili na kumalizia kuweka vioo katika sehemu ya juu ya  milango kwa haraka.

Ametoa rai kwa walimu kufanya jitahada za kuhakikisha wanafunzi wanaudhuria shuleni na kushiriki kikamilifu katika masomo ili waweze kufanya vizuri katika mitihani yao.

“Kuna kila sababu ya kufanya juhudi, mikutano ya wazazi ili kuhakikisha wanafunzi wote wanakuja shuleni na kuhudhuria vipindi darasani maana faida ya Serikali ni kuona watoto wakisoma na wanafaulu vizuri ndio maana inaboresha miundombinu”,amesema Mhe.Menas.

Waheshimiwa Madiwani wametembelea  na kukagua ujenzi wa nyumba ya mwalimu ambayo imejengwa na nguvu za wananchi wakishirikiana na uongozi wa Halmashauri na Mfuko wa Jimbo .

Pia Waheshimiwa Madiwani wametembelea  Zahanati ya Nambendo ambayo Serikali ilileta fedha kiasi Cha shilingi Milioni 24 kwaajili ya kukamilisha ujenzi wa matundu Saba ya vyoo, bafu moja, jengo la mama na mtoto pamoja na kujenga mnara wa kukalishia tenki la maji.

Vilevile Waheshimiwa Madiwani wametembelea na kukagua eneo la  shamba lenye ukubwa wa hekari  1000 na kuangalia  mipaka ya shamba hilo.

Uongozi wa shule ya msingi Nambendo umetoa shukrani kwa Serikali ya awamu ya sita ikiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama kwa kusaidia kuleta fedha kwaajili ya kutekeleza miradi hiyo.

Pia wamewashukuru baraza la Madiwani wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Menas Komba, Timu ya wataalamu wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Neema Maghembe, Viongozi wa Chama cha Mapinduzi na uongozi wote wa kata na Kijiji kwa kusaidia kutekeleza miradi hiyo.

 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa