• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA YAGAWA MBEGU ZA LISHE KUHAMASISHA ULAJI BORA

Tarehe ya Kuwekwa: December 19th, 2025


Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea imeendesha zoezi la ugawaji wa mbegu za mahindi lishe na maharagwe lishe kwa kaya maskini, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhamasisha ulaji wa lishe bora kwa jamii.

Zoezi hilo limefanyika katika vijiji vya Maposeni na Morogoro, ambapo wananchi walipatiwa mbegu hizo kwa lengo la kuwawezesha kuzalisha mazao yenye virutubishi muhimu kwa ajili ya kuboresha afya za familia zao.

Akizungumza wakati wa ugawaji wa mbegu hizo, Afisa Kilimo wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea, BI. Faraja Kiula, alisema kuwa ulaji wa lishe bora unaozingatia makundi ya chakula ni msingi muhimu wa kuimarisha afya ya mwanadamu.

Alieleza kuwa kaya zinapaswa kuzingatia mchanganyiko sahihi wa vyakula ili kupata virutubishi vyote muhimu vinavyosaidia kuimarisha kinga ya mwili na kuzuia magonjwa yanayotokana na upungufu wa lishe.

Bi. Faraja Kiula alibainisha kuwa mbegu za mahindi na maharagwe zilizogawiwa zimeongezewa virutubishi vya zinc na iron kwa kiwango kikubwa, ambavyo ni muhimu kwa afya ya binadamu, hususan kwa watoto na wanawake wajawazito.

Kwa mujibu wake, matumizi ya mbegu hizo yatachangia kupunguza changamoto ya upungufu wa damu na kuongeza nguvu na ustawi wa mwili kwa wananchi watakaonufaika.

Wananchi wa vijiji vilivyonufaika wamepongeza jitihada za Halmashauri, wakisema kuwa zoezi hilo litawasaidia kuboresha uzalishaji wa mazao ya lishe na kuinua hali ya afya na maisha yao kwa ujumla.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • PPRA KANDA YA KUSINI YATOA MAFUNZO YA SHERIA YA UNUNUZI WA UMMA KWA WATUMISHI SONGEA DC

    January 13, 2026
  • MAAGIZO 10 YA NAIBU WAZIRI KWAGILA; WATAALAM WATAKIWA KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA MIRADI

    January 11, 2026
  • WADAU SONGEA WAPEWA ELIMU YA UTEKELEZAJI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 09, 2026
  • MWAMPAMBA AIPONGEZA SONGEA DC NA KUSISITIZA MIKOPO YA 10% IENDELEE KUTOLEWA.

    January 08, 2026
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa