• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA YAANZA KUTEKELEZA AGIZO LA SERIKALI LA USAJILI, UTAMBUZI NA UFUATILIAJI WA MIFUGO.

Tarehe ya Kuwekwa: August 12th, 2017

Zoezi la usajili, utambuzi na ufuatiliaji wa mifugo, lilizinduliwa na Mkuu wa wilaya ya Songea Ndugu. Pololet Mgema na amewataka wafugaji kufuata taratibu na kanuni zilizowekwa na Serikali ili kujiepusha na migogoro.

Akiongea na wafugaji wa Mhepai, Mkurugenzi Mtenadaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea ndugu Simon Bulenganija amesema Halmashauri ya Wilaya imeanza kutekeleza agizo hilo la Serikali la kuzitaka Halmashauri kutambua na kusajili mifugo yote nchini chini ya sheria ya Bunge Na. 12 ya mwaka 2010 kwa mujibu wa kifungu cha 12(1) cha sheria ya utambuzi, usajili na ufuatiliaji wa mifugo

Aidha Mkurugenzi amesema, malengo makuu ni kusajili na kutambua mifugo yote katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea pamoja na kuwa na takwimu sahihi za mifugo katika Halmashauri.

Usajili wa Mifugo utarahisisha upatikanaji wa takwimu za mifugo zitakazowezesha Halmashauri ya Wilaya ya Songea kupanga matumizi bora ya ardhi na uendelezaji wa nyanda za malisho pamoja na kupanga mahitaji ya madawa, chanjo na ujenzi wa miundo mbinu kama majosho, vibanio, malambo, minada  na Ujenzi wa vituo vya huduma za afya  ya  mifugo.

Upatikanaji wa Takwimu sahihi za mifugo  utasaidia kushawishi wawekezaji hasa wasindikaji na wadau wengine wa mazao ya mifugo kuwekeza katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea.

Halmashauri ya Wilaya ya Songea imejipanga kuimarisha mitandao ya mawasiliano katika kudhibiti wizi, upotevu wa mifugo, kuthibiti magonjwa na kuwezesha ufuatiliaji wa mifugo wakati wa ukomo wa umiliki na uhai wa mifugo kwenye minada na machinjio.

Takwimu hizi zitaingizwa katika kitabu, na baadae katika mfumo wa kompyuta ili kuwezesha utunzaji takwimu sahihi za mifugo. Inapotokea kukoma kwa umiliki kutokana na kuuza mifugo, uchinjaji, upotevu na wizi, taarifa hizi zitakuwa zinahuishwa mara kwa mara ili ziwe sahihi kila  wakati.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa