• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Dkt. Kaijage aipongeza Awamu ya Sita kwa kuwajali Watumishi

Tarehe ya Kuwekwa: November 13th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya  Songea imetembelewa na Mbunge anayesemea wafanyakazi na kutetea maslahi ya watumishi Bungeni Dkt. Alice Kaijage Novemba 13, 2023.

Mheshimiwa Dkt. Kaijage katika ziara yake ameweza kusikiliza kero mbalimblai za watumishi na kwenda kuzisemea Bungeni, Aidha Mheshimiwa Dkt. Kaijage ameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutatua baadhi ya kero za watumishi kwa kuwapandisha vyeo na madaraja mbalimbali.

Mheshimiwa Dkt. Kaijage amesema “katika mwaka wa fedha 2022/2023 Serikali ilitenga bajeti kwa ajili ya kuwapindisha vyeo watumishi 12,000, na pia imeweza kuwabadilisha Kada (Muundo) watumishi mbalimbali na kiasi cha Shilingi Bilioni 2.5 zimetumika”.

Pia Mheshimiwa Dkt. Kaijage amefafanua juu ya suala la ajira na kwamba tangu Mheshimiwa Dkt. Rais Samia suluhu Hassan  ameingia madarakani ameweza kutoa ajira katika nafasi mbalimbali zaidi  47,374 na bado  ataendelea kutoa nafasi za ajira kwa Watanzani, Mwaka wa Fedha 2023/2024 Serikali imetenga nafasi za ajira 27,000 za nafasi mbalimbali.

Mheshimiwa Dkt. Kaijage amewaomba watumishi kuwa na imani ya kufanya kazi kwa uadilifu na kuiombea amani Nchi ya Tanzania.

Nae Afisa Utumishi wa Halmashauri Ndugu Hashim Lugome ambaye amemwakilisha Mkurugenzi Mtendaji aliweza kutoa ufafanuzi wa mambo kadhaa ambayo yalitolewa kama hoja na baadhi ya watumishi.

Vilevile ametoa shukrani kwa Mhe. Kaijage kwa kutembelea Halmashauri ya Wilaya ya Songea na kusikiliza kero za Watumishi.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI 28 VAPATIWA MIKOPO YA TSH MILIONI 249 NA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    July 03, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 600 ZIMETUMIKA KUJENGA STEND YA KISASA PERAMIHO

    July 01, 2025
  • Ujenzi wa Mradi wa Barabara Likuyufusi–Mkenda ni fursa mpya ya Maendeleo ya Songea Dc.

    June 20, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI WASISITIZWA KUZINGATIA UADILIFU NA UFANISI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO SONGEA DC

    June 19, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa