• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

DKT. CHARLES MSONDE ARIDHISHWA NA UBORA WA UJENZI SEKONDARI MAPOSENI.

Tarehe ya Kuwekwa: November 22nd, 2023


Naibu Katibu Mkuu Elimu Ofisi ya Raisi TAMISEMI Dkt. Charles Msonde amepongeza maendeleo ya ujenzi wa miundombinu katika shule ya sekondari Maposeni wakati akikagua miradi inayojengwa kwa ufadhiri wa kampuni ya BARRICK GOLD MINE TANZANIA.

Ukaguzi huo umefanyika leo tarehe 22/11/2023 ambapo naibu katibu mkuu amekagua madarasa 4 yenye thamani ya shilingi 96,000,000, mabweni mawili yenye thamani ya shilingi 256,000,000 na  matundu 6 ya vyoo yenye thamani ya shilingi 10,200,000 na kufanya jumla ya majengo yote thamani yake ni shilingi 362,200,000. Ambapo amesema

“Kwa kweli niwapongeze kwa hatua mliyoifikia kwasababu ubora wa majengo unaonekana hii inaashiria mnae mhandisi makini, pia niwapongeze wote ambao mmeshirikiana mpaka kufika hapo ambapo majengo yalipofikia niwaombe tu ongezeni jitihada katika sehemu hii iliyobakia ili majengo haya yaanze kutumika”

“Kipekee tumshukuru Mbunge wa Jimbo la peramiho Mhe Jenista Mhagama kwa jitihada zake kwamaana yeye ndiye aliyefika kuomba fedha za ujenzi wa miundombinu hii na kwasababu serikali yetu ni sikivu basi haikusita kuelekeza fedha hizo katika kujenga miundombinu kwenye shule hii.” Alisema Cherles Msonde Naibu Katibu Mkuu-Elimu Ofisi ya Raisi TAMISEMI.


Nae Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Ndg Neema M Maghembe amemshukuru kwa ujio wa naibu katibu mkuu na kwa kutembelea miradi hiyo na kuahidi kukamilisha miradi hiyo kwa wakati ikiwa ni pamoja na ifikapo tarehe 15 disemba mwaka huu majengo hayo yatakuwa yamekamilika kwani vifaa vyote vipo gharani.

Akisoma taarifa ya utekeleaji wa  ujenzi wa miundomdinu hiyo Mkuu wa shule ya sekondari maposeni Mr. Dismas Nchimbi  amesema shule ilipokea jumla ya kiasi cha shilingi 362,200,000 kwaajili ya ujenzi wa madarasa manne, mabweni mawili na matundu sita ya vyoo, ambapo mpaka sasa majengo yote yapo katika hatua za ukamilishaji na kiasi cha fedha kilichobaki ni shilingi 103,886,000.

Pia amemshukuru Mhe. Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuweza kuruhusu fedha hizo zielekezwe katika shule hiyo, pia Mbunge wa jimbo la peramiho Mhe Jenista Mhagama kwa kuendelea kulipigania jimbo la peramiho, pia amelishukuru baraza la madiwani likiongozwa na Mwenyekiti wake wa Halmashauri Mhe Menasi Komba, Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri na timu yake kwa ufuatiliaji wake mzuri.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa