• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

DC aagiza RUWASA kutoa Elimu kwa wanachi kuhusu umuhimu wa vyanzo vya maji

Tarehe ya Kuwekwa: December 17th, 2020

Mkuu wa wilaya ya songea mkoani Ruvuma Pololeti Mgema ametoa maagizo kwa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira kutoa elimu kwa wananchi wa Madaba kuhusu umuhimu wa utunzaji wa vyanzo vya maji.

Mgema ametoa maagizo hayo hivi karibuni wakati alipotembelea na kukagua chanzo cha maji cha Mgombesi kilichopo kilomita tano kutoka barabara kuu ya Songea - Njombe.

Mgema amesema wananchi wanaoishi na kufanya shughuli za kiuchumi karibu na vyanzo ya maji wapewe elimu kuhusu umuhimu wa kulinda vyanzo vya maji na athari zake kwa viumbe hai.

Mgema amesisitiza kwakusema wananchi wote wanaofanya shuguli za kiuchumi karibu na vyanzo vya maji ni marufuku kufanya kazi hizo kwalengo la kukabiliana na changamoto za ukosefu wa maji.

“ Maagizo yangu vyanzo vya maji vilindwe”,amesema Mgema.

Amesisitiza wataalam wa RUWASA kuongeza juhudi za kukamilisha ujenzi wa mradi huo ili uweze kutoa huduma kwa wananchi kama Serikali inavyopambana kuondoa tatizo la maji katika jamii.

Mgema amesema zaidi ya wakazi 30,000  wa  vijiji vya  kipingu,kifagulo,Mtepa na Lituta ndio wanufaika wakuu wa huduma hiyo.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wakazi wa Kijiji cha Lituta na kipingu Esta Mlelwa na Godfrey Ngatunga ambaye ni Mwenyekiti wa Kijiji cha kipingu anakili kuwepo kwa tatizo la maji katika vijij hivyo lakini kwa sasa wanatoa shukrani kwa serikali kwa kuwaletea huduma ya maji

Kwa upande wake Meneja wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mzingira wa  Wilaya ya Songea Mathias Pangras amesma mradi umekamilika kwa asilimia 75.

Amesema mradi umejengwa kwa awamu mbili ambapo awamu ya kwanza walijenga chanzo na tank la lita laki mbili,na awamu ya pili wameongeza kujenga tank mbili na kazi ya usambazaji wa  maji kutoka kwenye tank kwenda kwa wananchi.

Mathias amezitaja gharama ya ujenzi ni zaidi ya shilingi bilioni mbili na milioni sabini na tisa, na mradi ukikamilika utamaliza tatizo la maji katika wilaya ya Madaba.

“RUWASA maji bombani

Imeandikwa na

Jacquelen Clavery

Songea DC

16,12,2020

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa