• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Chakaga atoa wito kwa Halmashauri za mkoa wa Ruvuma kutoa elimu ya sheria ya ardhi kwa mabaraza ya kata

Tarehe ya Kuwekwa: July 17th, 2019

Chakaga atoa wito kwa Halmashauri za mkoa wa Ruvuma kuelimisha mabaraza ya ardhi sheria ya ardhi

Kamanda wa TAKUKURU mkoani Ruvuma Christina Chakaga ametoa wito kwa Halmashauri za mkoa wa Ruvuma kutoa elimu ya sheria kwa mabaraza ya ardhi ya Kata kwa lengo la kupunguza migogoro ya ardhi.

Chakaga ametoa wito huo wakati akitoa taaifa ya utendaji kazi wa taasisi hiyo kwa kipindi cha miezi mitatu kuanzia Aprili hadi Julai 2019 katika ofisi za TAKUKURU.

Amesema mabaraza ya ardhi ya Kata yanafanya kazi za kisheria,wakati hawana elimu ya sheria jambo linalo sababisha kuongezeka kwa vitendo vya rushwa katika idara ya ardhi wakati wa kutatuamigohoro baina ya mlalamikaji na mlalamikiwa.

Kwakipindi cha miezi mitatu TAKUKURU mkoani Ruvuma imepokea taarifa za malalamiko ya rushwa 63 toka vyanzo mbalimbali ambapo kati ya malalamiko hayo idara ya ardhi inaongoza kwa kulalamikiwa kwa malalamiko 17,ikifuatiwa na idara ya elimu yenye malalmiko 10 na ya misho kulalamikiwa ni taasisi za kifedha zenye malalamiko mawili.

Aidha taasisi imefanya ufutiliaji wa zaidi ya shilingi bilioni 14 ambazo zimetolewa na serikali kwa ujenzi wa miradi ya miundo mbinu ya ujenzi, maji,afya,elimu na barabara nakubaini dosari ndogondogo ambazo zimeshatolewa ushauri wa wanamna ya kurekebisha dosari hizo.

Akizungumzia kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika nchini, Chakaga amewataka wagombea na wapiga kura kujiepusha na vitendo vya rushwa ambavyo vitawasababishia matatizo ya kuchukuliwa hatua za kisheria kulingana na sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa namba 11 ya mwaka 2007 ya kuongoza vita zidi ya rushwa na ufisadi nchini.

MWISHO. 17 / 07 / 2019.

JACQUELEN CLAVERY –SONGEA DC

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa