• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MARUFUKU makampuni ya upimaji wa ardhi kujihusisha na upimaji wa ardhi.

Tarehe ya Kuwekwa: August 10th, 2020

Waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Mh Williamu Lukuvi amepiga marufuku makampuni yayojihusisha na upimaji wa ardhi kuhusika na kazi hiyo.

Waziri Lukuvi ametoa agizo hilo katika hafla fupi ya uzinduzi wa Ofisi ya Ardhi ya Mkoa wa Ruvuma iliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya mkuu wa mkoa wa Ruvuma hivi karibuni.

Lukuvi ametoa agizo hilo kufuatia ukiukwaji wa taratibu za upimaji wa ardhi na kusababisha dhuluma na migogoro kwa wananchi.

Amewaagiza wakurugenzi wa Manspa na Wilaya kusimamia kazi za upimaji wa ardhi yote ndani ya mkoa na kupanga matumzi bora ya ardhi ili kuepusha migogoro  kwa wananchi.

"Marufuku kwa mtu yoyote,kampuni au Taasisi kuchukua ardhi ya wananchi bila ya kuwalipa fidia",alisema Lukuvi.

Amewataka watumishi wa idara ya ardhi kuanzia Mkoa na Wilaya kwenda kwa wananchi kutafuta kero za migogoro ya ardhi na kutatua lengo likiwa kumaliza migogoro.

Waziri Lukuvi ametoa siku 90 kwa wadaiwa wa kodi ya ardhi ,kulipa kodi ndani ya kipindi hicho kuanzia tarehe10 /08 /2020 baada ya siku hizo wadaiwa watahesabiwa deni kuanzia siku waliyopata kiwanja mpaka siku ya kuchukua ankara yako.

Kwa upande wake Kamishna msaidizi wa ardhi wa Mkoa wa Ruvuma Bw ILDEFONCE NDEMLA amesema kzinduliwa kwa ofisi za ardhi za Mkoa kutarahisisha utoaji wa huduma ,pamoja kuondoa usumbufu  na gharama kwa wananchi ambao walikuwa wakipata wakati wa kwenda kufuata huduma hizo ofisi za kanda Mkoani Mtwara.

Naye Kamishina wa Ardhi Tanzania Nathanieli Mhonge amesema kuanzishwa kwa ofisi za mikoa 26 Nchini ,Wizara inatarajia kuona upangaji na upimaji wa ardhi utaongezeka,kupungua kwa makazi holela,kupunguza migogoro na ukusanyaji wa maduhuri ya serikali unaongezeka.

imeandikwa na Jacquelen Clavery

Afisa habari Songea DC



Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa