• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

1681 wahitimu mafunzo 42 washindwa

Tarehe ya Kuwekwa: September 22nd, 2018

Vijana 1681 Wahitimu Mafunzo ya awali ya Kijeshi wa mujibu wa sheria operation Mirerani na 42 wameshindwa kumaliza mafunzo hayo.

Vijana hao wamehitimu mafunzo hayo katika kikosi cha 842 KJ Kikosi cha jeshi –Mlale JKT  Septemba 2018.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh. Christina Mndeme amesema mafunzo ya awali ya kijeshi kwa vijana kwa mujibu wa sheria sio adhabu  kwa vijana ni sehemu muhimu ya kupata mafunzo ya malezi bora yanayoendana na misingi ya taifa letu pamoja na mafunzo ya kiuzalendo ambayo yanasaidia kuwajenga vijana katika maadili mema.

Mh. Mndeme amewahimiza wazazi na walezi kuwapeleka vijana wao kushiriki mafunzo hayo mara wapatapo fursa hiyo kwakuwa mafunzo hayo yanafaida kwa vijana  pamoja na kujenga Afya zao, kuwa wakakamavu na kuwaandaa kuwa viongozi bora kwa siku za baadae.

Aidha amewaasa vijana kutoanzisha migogoro ambayo haina tija kwa taifa, washirikiane katika kufichua maovu kama vile vitendo vya rushwa madawa ya kulevya mimba za utotoni  pia kukemea matishio yoyote yauvunjifu wa usalama yanapotaka kutokea na kuwa mfano bora kwa jamii inayowazunguka.

Wahitimu wa mafunzo hayo kupitia risala yao kwa mgeni rasmi wamesema wanaishukuru serikali kwa kurudisha mafunzo ya awali ya kijeshi wa mujibu wa sheria kwakuwa yanatoa fursa kwa vijana kujifunza stadi mbalimbali za maisha, shughuli za ujasiriamali, uzalishajimali na maadili mema katika jamii wanayoishi.

Akizungumzia changamoto zinazokikabili kikosi cha 842KJ Mlale  ambazo ni uchakavu wa majengo na miundombinu amesema serikali ya awamu ya tano inaendelea kuzifanyia kazi changamoto hizo na kuzipatia ufumbuzi.

Mafunzo ya awali wa mujibu wa sheria hufanyika kwa muda wa miezi 3 kwa vijana wanaohitimu kidato cha sita na jumla ya Vijana 1681 wamefanikiwa kuhitimu na 42 katiyao wasichana 2 na wavulana 40 wameshindwa kumaliza mafunzo hayo kwa  utoro.

JACQUELEN CLAVERY -TEHAMA

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa