• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya

TANGAZO

12 October 2022

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea, anatangaza Ajira kwa watu wenye uzoefu katika ujenzi kutoka sehemu mbalimbali. Kipaumbele kitatolewa kwa mafundi kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Songea wenye sifa.

Nyaraka za maombi zinapatikana kwenye ofisi za wakuu wa shule, fomu za maombi ya kazi (michoro na muainisho wa kazi) zinatolewa kuanzia saa 01:30 asubuhi mpaka saa 09:30 alasiri siku za kazi.

Waombaji wenye nia ya kufanya kazi ya ujenzi wanaweza kupata maelekezo Zaidi katika ofisi ya wakuu wa shule za sekondari.

Taratibu za upatikanaji wa mafundi zitafanyika kwa njia ushindani kwa kuzingatia sheria ya ununuzi wa Umma ya mwaka 2011 na marekebisho yake ya mwaka 2020.

Siku ya mwisho ya kuwasilisha maombi ni tarehe 17/10/2022 siku ya Jumatatu kabla ya saa 06:30 mchana. Barua za maombi ziwekwe kwenye bahasha na kufungwa vizuri kisha zirejeshwe katika ofisi za wakuu wa shule kabla ya muda ulioainishwa.

Maombi yatakayochelewa, maombi yasiyo kamilika, maombi ambayo hayatakuepo siku ya ufunguzi, hayatapokelewa na kuhusishwa katika zoezi la tathmini ya kumpata fundi.

                                       SIFA ZA MWOMBAJI

  •  Anatakiwa awe na uwezo wa kufanya kazi bila kuomba malipo ya Awali.
  • Anatakiwa awe na uelewa wa kusoma ramani
  • Anatakiwa awe na Akaunti ya Benki.
  • Anatakiwa awe na barua ya kukiri uwepo wa vitendea kazi vya ujenzi kama vile pima maji, kamba n.k.
  • Anatakiwa awasilishe kazi za aina hii alizowahi kufanya na kusimamia hususani majengo ya Serikali (Nakala za mikataba za waajiri ziwasilishwe)
  • Anatakiwa awe na uzoefu usiopungua miaka mitatu (03).
  • Anatakiwa aandae na kuwasilisha mapango kazi wa utekelezaji wa mradi.
  • Muombaji awe na Cheti cha Ufundi (masonry) Grade Test au awe amepitia mafunzo ya VETA na vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali (wasilisha nakala ya cheti cha ufundi)
  • Muombaji anatakiwa kuwasilisha orodha na wasifu (CV) za wasaidizi/vibarua wasiopungua kumi.
S/N
JINA LA SHULE
IDADI YA MADARASA YATAKAYOJENGWA.
1
LUPUNGA
1
2
DARAJAMBILI
1
3
MAGAGURA
3
4
MUHUKURU
1
5
KILAGANO
2
6
MPITIMBI
2

 

 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO October 12, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • TAARIFA ya mapokezi ya fedha kiasi cha Shilingi Milioni 55 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa Songea DC.

    March 23, 2023
  • KAMATI zatakiwa kuwa makini katika kusimamia miradi

    March 16, 2023
  • TANGAZO LA KAZI

    March 09, 2023
  • ZIARA ya Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Ndile Songea DC

    March 07, 2023
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa