• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

RATIBA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2020

03 August 2020

Ratiba ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka, 2020 Tukio Tarehe Idadi ya Siku

1.

Uteuzi wa Wagombea wa Urais, Ubunge na Udiwani

25 Agosti 2020

Siku 25 toka kuvunjwa kwa Bunge

2.

Kampeni za Uchaguzi

26 Agosti 2020 hadi tarehe 27 Oktoba 2020

Siku 63 baada ya uteuzi

3.

Siku ya Kupiga Kura

28 Oktoba 2020 (siku ya Jumatano)

2

Ratiba ya Utekelezaji wa Shughuli za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 NA. MAELEZO TAREHE MHUSIKA

1.

Mafunzo kwa Waratibu wa Uchaguzi na Wasimamizi / Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo

 27 – 29 Julai, 2020

 01- 03 Agosti, 2020

Idara ya Usimamizi wa Uchaguzi

2.

Mapokezi ya vifaa vya Uteuzi wa Wagombea Ubunge na Udiwani na Mafunzo kwa ARO-Kata awamu ya kwanza

26 Julai- 05 Agosti, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi

3.

Mafunzo kwa Maafisa TEHAMA wa Halmashauri kuhusu Mfumo wa Uteuzi wa Wagombea (CMS)

Agosti, 2020

Idara ya Daftari na TEHAMA 4. Kipindi cha ajira za Waratibu wa Uchaguzi, Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi 05 Agosti – 02 Novemba, 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi/ Idara ya Usimamizi wa Uchaguzi 5. Utoaji wa fomu za Uteuzi kwa wenye nia ya kugombea Kiti cha Rais na Makamu wa Rais 05 - 25 Agosti, 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi/ Idara ya Usimamizi wa Uchaguzi 6. Mafunzo kwa Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi Kata 07 - 09 Agosti, 2020 Wasimamizi wa Uchaguzi/ Idara ya Usimamizi Uchaguzi 7. Utoaji wa fomu za Uteuzi kwa wenye nia ya kugombea Ubunge na Udiwani 12 - 25 Agosti, 2020 Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata 8. Kuwapatia wagombea wote akaunti za kuweka fedha za dhamana ya wagombea 12 – 25 Agosti, 2020 Wasimamizi wa Uchaguzi/ Idara ya Usimamizi wa Uchaguzi

9.

Wasimamizi wa Uchaguzi kuvitaarifu Vyama vya Siasa kuwasilisha ratiba zao za Kampeni za Wagombea

16 - 17 Agosti, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi

10.

Kuunda Kamati za Maadili ya Uchaguzi

18-24 Agosti, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi

3

NA. MAELEZO TAREHE MHUSIKA

11.

Uundaji wa Kamati ya uratibu wa Kampeni za Uchaguzi wa Ubunge na Udiwani

23- 24 Agosti, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi 12. Uteuzi wa Wagombea Kiti cha Rais/ Makamu wa Rais, Ubunge na Udiwani 25 Agosti, 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi/ Idara ya Usimamizi Uchaguzi/ Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi 13. Kupokea Pingamizi dhidi ya Uteuzi wa Wagombea Ubunge na Udiwani 25 - 26 Agosti, 2020 Kitengo cha huduma za Sheria/ Wasimamizi wa Uchaguzi 14. Wasimamizi Wasaidizi ngazi ya Kata kuwasilisha Fomu za Uteuzi wa Wagombea Udiwani kwa Wasimamizi wa Uchaguzi 26 - 27 Agosti,2020 Wasimamizi Wasaidizi ngazi ya Kata/ Wasimamizi wa Uchaguzi 15. Kushughulikia pingamizi dhidi ya Uteuzi wa Wagombea Ubunge na Udiwani 26 - 28 Agosti, 2020 Wasimamizi wa Uchaguzi 16. Kuingiza taarifa za Wagombea kwenye mfumo wa Candidate Management System 26 – 28 Agosti, 2020 Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi 17. Kampeni za Uchaguzi 26 Agosti, - 27 Oktoba, 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi/ Wasimamizi wa Uchaguzi na Idara ya Usimamizi Uchaguzi na Kitengo cha Huduma za Sheria

18.

Muda wa Kamati za Maadili ya Uchaguzi

26 Agosti - 27 Oktoba, 2020

Kitengo cha Huduma za Sheria

19.

Kuratibu Kampeni za Uchaguzi

26 Agosti - 27 Oktoba, 2020

Mkurugenzi wa Uchaguzi/ Idara ya Usimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi wa Uchaguzi

20.

Wasimamizi wa Uchaguzi kuwasilisha Tume Fomu za Uteuzi wa Wagombea Ubunge na Udiwani

29 Agosti - 02 Septemba, 2020

Idara ya Usimamizi wa Uchaguzi/ Idara ya Daftari na TEHAMA

21.

Kupokea fomu za Uteuzi kutoka kwa Wasimamizi wa Uchaguzi

29 Agosti - 02 Septemba, 2020

Idara ya Usimamizi wa Uchaguzi

4

NA. MAELEZO TAREHE MHUSIKA

22.

Kutangaza nafasi za Wasimamizi, Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo, Makarani Waongozaji Wapiga Kura na kupokea barua za maombi yao

21 - 27 Septemba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi

23.

Kuchambua waombaji wa nafasi za Wasimamizi, Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo na Makarani Waongozaji Wapiga Kura (Shortlisting)

28 Septemba – 08 Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi

24.

Mkutano wa Tume na Waratibu wa Uchaguzi wa Mikoa na Wasimamizi wa Uchaguzi na Makamanda wa Polisi wa Mikoa

Septemba, 2020

Tume na Waratibu wa Uchaguzi wa Mikoa, Wasimamizi wa Uchaguzi na Makamanda wa Polisi wa Mikoa

25.

Mkutano wa Tume na Waratibu wa Uchaguzi wa Mikoa, Wasimamizi wa Uchaguzi, Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya Tanzania Bara

Septemba, 2020

Tume na Waratibu wa Uchaguzi wa Mikoa, Wasimamizi wa Uchaguzi, Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya Tanzania Bara

26.

Mkutano wa Tume na Vyama vya Siasa, Waratibu wa Uchaguzi wa Mikoa na Wasimamizi wa Uchaguzi

Septemba, 2020

Tume na Waratibu wa Uchaguzi wa Mikoa, vyama vya siasa na Wasimamizi wa Uchaguzi

27.

Kupokea Vifaa vya awamu ya II

Septemba 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi

28.

Kupata Walinzi wa Vituo vya Kupigia Kura

05 - 15 Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi

29.

Kukagua na kuandaa Vituo vya Kupigia Kura (Ni muhimu kuvitembelea na kuvifahamu vituo)

09 - 18 Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi

30.

Kuchambua na kupanga vifaa vya kupigia kura kwa kila kituo

09 - 20 Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi

31.

Kikao cha Tume na Waratibu wa Uchaguzi wa Mikoa na Wasimamizi wa Uchaguzi

Oktoba, 2020

Tume na Waratibu wa Uchaguzi wa Mikoa na Wasimamizi wa Uchaguzi

5

NA. MAELEZO TAREHE MHUSIKA

32.

Kupokea Vifaa vya awamu ya III

Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi

33.

Uteuzi wa Wasimamizi/Wasimamizi Wasaidizi wa vituo na Makarani Waongozaji Wapiga Kura

10 - 17 Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi

34.

Vyama vya siasa kupatiwa Orodha ya Vituo vya Kupigia Kura

13 - 14 Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi

35.

Kutaarifu vyama vya siasa kuwasilisha majina ya Mawakala wa Upigaji Kura

15 Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi

36.

• Kutoa Tangazo la Uchaguzi (Notice of Election) kwa kubandika Makao Makuu ya Halmashauri, kwenye Kata, na kwenye vituo vya Kupigia Kura

• Kubandika mabango, orodha ya Wapiga kura, mfano wa Karatasi za Kura na Bango la Hadhari na Maelekezo ya Mpiga Kura (siku 8 kabla ya Upigaji Kura)

18 - 19 Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi

37.

Mafunzo kwa Maafisa TEHAMA wa Halmashauri kuhusu Mfumo wa Matokeo (RMS)

19 – 21 Oktoba, 2020

Idara ya Daftari na TEHAMA

38.

Mawakala wa Vyama vya Siasa pamoja na Mawakala mbadala kula kiapo cha kutunza siri mbele ya Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi kwenye Kata siku 7 kabla ya Siku ya Uchaguzi

21 Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi

39.

Kugawa nakala za Maelekezo kwa Mawakala wa Vyama vya Siasa

21 Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi

40.

Kuandaa orodha na utambulisho wa Mawakala wa vyama vya siasa

22 - 24 Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi

6

NA. MAELEZO TAREHE MHUSIKA

kwa ajili ya vituo vya kupigia kura

41.

Mafunzo ya Makarani Waongozaji Wapiga Kura na kula kiapo cha kutunza siri na kujitoa Uanachama wa Chama cha Siasa

24 Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi/ Idara ya Usimamizi wa Uchaguzi 42. Mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo na kula kiapo cha kutunza siri na kujitoa Uanachama wa Chama cha Siasa (inasisitizwa mafunzo yakamilike tarehe 26 Oktoba, 2020) 25 –26 Oktoba, 2020 Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi/ Idara ya Usimamizi wa Uchaguzi

43.

Kuvitaarifu vyama vya Siasa mahali pa kujumlishia kura

25 - 27 Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi

44.

Kugawa vifaa vya Uchaguzi, utambulisho wa Mawakala pamoja na kuwasafirisha Wasimamizi wa vituo na vifaa vya Uchaguzi kwenda kwenye vituo vya Kupigia Kura.

27 Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi

45.

Kuwasiliana kwa njia ya haraka mfano simu na Waratibu wa Uchaguzi na Wasimamizi wa Uchaguzi kuhakikisha maandalizi ya Uchaguzi yamekamilika tayari kwa Uchaguzi

27 Oktoba, 2020

Idara ya Usimamizi wa Uchaguzi Uchaguzi UchaguziUchaguzi 46. Siku ya Uchaguzi 28 Oktoba, 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi/ Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi

47.

Wasimamizi wa Uchaguzi kuingiza matokeo ya Uchaguzi kwenye Mfumo wa Matokeo (RMS)

28 – 29 Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi/ Idara ya Daftari na TEHAMA/ Idara ya Usimamizi wa Uchaguzi

48.

 Kusafirisha masanduku ya Kura, Fomu na vifaa vya Uchaguzi wa Rais, na

28 - 30 Oktoba, 2020

Idara ya Usimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi/ Wasimamizi Wasaidizi wa

7

NA. MAELEZO TAREHE MHUSIKA

Wabunge kutoka vituoni kwenda Makao Makuu ya Halmashauri.

 Kusafirisha masanduku ya Kura, Fomu na vifaa vya Uchaguzi wa Madiwani hadi Makao Makuu ya Kata.

Uchaguzi

49.

 Kujumlisha Kura za Uchaguzi wa Rais na Wabunge – Makuu ya Halmashauri

 Kujumlisha Kura za Uchaguzi wa Madiwani Makao Makuu ya Kata

29 - 30 Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi

50.

Kutangaza matokeo ya Uchaguzi wa Wabunge na Madiwani kwenye Majimbo na Kata

29 - 30 Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi

51.

Kutuma Tume na kupokea Matokeo ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani

29 - 31 Oktoba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi/ Idara ya Usimamizi wa Uchaguzi na Idara ya Daftari na TEHAMA

52.

Kupokea na kutangaza matokeo ya Uchaguzi wa Rais kwa kila Jimbo

29 Oktoba - 01 Novemba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi/ Idara ya Usimamizi wa Uchaguzi na Idara ya Daftari na TEHAMA

53.

Kuwasilisha Tume Fomu za Matokeo ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani

30 Oktoba - 03 Novemba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi/ Idara ya Usimamizi wa Uchaguzi

54.

Kuandaa nyaraka za Matumizi ya fedha na kuziweka tayari kwa Ukaguzi

03 - 10 Novemba, 2020

Wasimamizi wa Uchaguzi

55.

Kuwasilisha Tume Taarifa ya Matumizi ya fedha za Uchaguzi

12 - 16 Novemba, 2020

Waratibu wa Uchaguzi wa Mikoa/ Wasimamizi wa Uchaguzi, Uhasibu na Ukaguzi na Idara ya Usimamizi wa Uchaguzi

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa